Latest Posts
Balile: Sheria ikirekebishwa uhuru wa habari utapatikana
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Deidatus Balile, amesema, licha ya kuwepo kwa uhuru wa habari nchini, ameomba uhuru huo ulindwe kisheria. Akizungumza katika Kongamano la Kwanza la Maendeleo ya Sekta ya Habari leo tarehe 17 Desemba…
Rushwa ya ngono bado tatizo vyumba vya habari
Na Mwandishu Wetu Imeshauriwa kuwa katika kupunguza kama si kumaliza kabisa rushwa ya ngono katika vyumba vya habari ni vvyema kukawa na dawati la jinsia. Kauli hiyo imetolewa na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari kwenye mkutano uliofanyika tarehe…
Mama aua wanae wawili kisha ajinyonga
Na Cresensia Kapinga, Songea Amina Maketu (34), mkazi wa eneo la Namanditi Kata ya Lilambo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma amewaua watoto Wake wawili mmoja kwa kumnyonga na mwinginekwa kumpiga na kitu kizito kichwani kisha na yeye…
Watanzania watakiwa kumuenzi Bibi Titi kwa mchango wake katika ukombozi wa taifa
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji Watanzania wametakiwa kuenzi juhudi za muasisi wa Taifa letu Bibi Titi Mohammed ambae alishiriki kumkomboa Mwanamke na kumng’oa mkoloni kwa maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo. Akimuelezea hayati Bibi Titi wakati wa Kongamano la kumuenzi muasisi…
Watu watatu waliojifanya maofisa wa serikali na kughushi nyaraka wakamatwa Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Jeshi la Polisi Mkoani Pwani linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kujifanya maofisa wa serikali na kutengeneza nyaraka za kughushi ili kusajili vijana wapate ajira idara ya Maliasili na Utalii. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…