Latest Posts
Mister na miss kiziwi wa dunia kupatikana Oktoba 29
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mashindano ya Dunia ya Mister and Miss Kiziwi yanatarajia kufanyika oktoba 29 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Kimatataifa( NJICC) na mgeni rasmi atakuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu,nakwamba yanakutasha washiriki kutoka nchi…
Baraza la Madiwani Tunduru lamwangukia RC Ruvuma
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma limeazimia kumuita mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kanali Laban Thomas kwenye kikao cha dharula ili wamueleze kero nne zinazoisumbua jamii ikiwemo ya wafugaji ambao inadaiwa kuna…
Bil.8/- kuimarisha mpango wa mafunzo wa madaktari bingwa
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeongeza fedha za kusomesha Wataalamu bingwa na bobezi hadi kufikia shilingi Bilioni 8 kutoka Shilingi Bilioni 3 za mwaka wa fedha 2021/22, utaosaidia kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza Rufaa za nje ya nchi. Hayo…
Timu ya mawaziri nane yashughulikia migogoro ya ardhi
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Njombe Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametaka maeneo ya yanayomegwa kwa ajili ya kupatiwa wananchi waliovamia hifadhi yapangiwe mpango wa matumizi ya ardhi na kutolewa hati kwa wamiliki wake. Dkt mabula ametoa…