JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ruto aaga uenyekiti EAC, apongeza mafanikio ya ushirikiano wa kikanda

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda wakati akihitimisha kipindi chake cha uenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Akizungumza katika mkutano…

Iran : Hatutojisalimisha kwa Marekani na Israel

Saa kadhaa baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitaka Iran “isalimu amri” ili kusitisha vita vinavyoendelea, Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameapa kuwa kamwe taifa lake halitajisalimisha kwa Marekani na Israel. Ameyasema hayo kupitia hotuba yake iliyorushwa na televisheni…

Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mafuriko Kenya yafikia 23

Polisi jijini Nairobi wamesema watu 23 wamefariki dunia kufikia sasa,huku uharibifu wa mali, kufungwa kwa baadhi ya barabara pamoja na wakazi wengi kulazimika kuhama makazi yao kutokana na hali hiyo. Aidha zoezi la uokoaji bado linaendelea kufuatia mvua kubwa iliyonyesha…

Naibu Waziri Ndege atoa msaada wa futari na fedha kwa Waislamu Babati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege, amekabidhi futari na daku kwa waumini wa kiislamu kwa Madrasa…

Dk Nanauka azindua mitaji ya kuwezesha utekelezaji wa miradi iliyoibuliwa na vijana wa BBT – uvuvi

………………………………………………. Na Hellen Mtereko,Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Dkt. Joel Nanauka amezindua programu ya kuwezesha mitaji kwa vijana watakaotekeleza miradi ya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba. Hafla hiyo imefanyika leo Jumamosi Machi 07, 2026…

Kikwete : Maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila kuwepo kwa amani na utulivu

Na Mwandishi Maalum Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila amani na utulivu, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha analinda na kudumisha…