Latest Posts
Mambo matatu mechi ya KMC, Simba
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Sikupata bahati ya kuiona mechi nzima ya ‘Mnyama’ akiwa ugenini dhidi ya Kinondoni Municipal Council kwa kifupi KMC, iliyopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Hii ni kwa kuwa nilikuwa…
Hali ya misitu baada ya miaka 60 ya Uhuru
Na Dk. Felician Kilahama Awali ya yote nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai na amani hadi kushuhudia taifa letu linaadhimisha miaka 60 tangu ‘Tanganyika’ ilipopata uhuru Desemba 9, 1961. Kadhalika, ifikapo Aprili 26, 2022 tutafikisha miaka…
BABA GASTON Mtunzi wa ‘Kakolele’, wimbo usiochuja
TABORA Na Moshy Kiyungi Msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka 2021 unamalizika na kama ilivyo kwa miaka mingine, zipo nyimbo kadhaa ambazo husikika zaidi nyakati hizi pekee. Mmoja miongoni mwa nyimbo hizo ni ‘Kakolele’, maarufu kama ‘Viva Krismasi’. Wimbo…
Askofu Tutu aaga dunia
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Mshindi wa Tuzo ya Amani, mpigania uhuru maarufu na mpinzani wa ubaguzi wa rangi, Askofu Mkuu Desmond Mpilo Tutu wa Afrika Kusini, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90. Tutu, ambaye kwa miongo kadhaa alishiriki kikamilifu…
Wakulima India walivyobatilisha sheria kandamizi
Na Nizar K Visram Maandamano na mgomo wa wakulima zaidi ya 100,000 nchini India hatimaye umemalizika baada ya serikali kukubaliana na madai yao. Wakulima hao walipiga kambi nje ya mji mkuu wa New Delhi, wakitaka serikali ibatilishe sheria tatu ambazo…
Wawekezaji waigomea Serikali
DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Baadhi ya wamiliki wa hoteli na ‘campsites’ zilizopo mwambao wenye urefu wa takriban kilomita saba wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara iliyopo jijini Arusha wamegoma kuwasilisha serikalini nyaraka zinazoonyesha umiliki wa ardhi, kibali…