JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SIKU YA WANAWAKE Warembo wanavyoupiga mwingi Bongo

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Niwapongeze wanawake kwa kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Ni siku muhimu ambayo wanawake pekee waliothubutu kufanya mambo makubwa kwenye sekta mbalimbali ndio wanastahili kupokea pongezi hizo. Nyakati zimebadilika na sasa ni majira ambayo tunaona…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (5)

Dar es Salaam Na Mwl. Paulo Mapunda Wiki iliyopita tuliwatazama Wapythagoras na ufahamu wao kuhusu ukuu na utukufu wa namba, kwamba kwao 10 ni namba takatifu kwa kuwa ni jumla ya namba moja hadi nne (1+2+3+4=10) na kwamba ni Albert…

Hadi sasa Makonda hajashitakiwa popote

Na Bashir Yakub Kesi iliyo mahakamani dhidi ya Makonda si mashtaka ya jinai. Kilicho mahakamani mpaka sasa ni maombi tu ya Saed Ahmed Kubenea. Wala Makonda hatafutwi kukamatwa na mahakama yoyote, wala taasisi nyingine ikiwamo Polisi. Nimeona hadi magazeti yanayoheshimika…

Ni muhimu kuelewa haya kuhusu vita ya Ukraine

Na Nizar K Visram Vyombo vya habari vya kimataifa hivi karibuni vimetawaliwa na vita ya Ukraine. Mengi yanasemwa na mengine hayasemwi. Bila shaka wengi wetu watataka kujua nini kinachoendelea na chimbuko lake. Ndiyo maana ni muhimu kujua pia kile kisichosemwa…

Urusi Vs Ukraine

*Ni pambano la ‘Daudi na Goliati’ uwanjani *Urusi ina kila kitu, makombora mazito, ndege *Marekani, Uingereza zaitosa Ukraine kijeshi *Putin aandaa matumizi ya zana za nyuklia Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Hali inazidi kuwa tete nchini Ukraine na wananchi…

Lugumi kubadili sheria ya mnada

Na Shaban Matutu, Dar es Salaam Hatua ya kukwama kuuzwa mara tatu kwa nyumba mbili za mfanyabiashara, Said Lugumi, imeifanya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufikiria kuboresha sheria ili zitoe mwongozo kwa mali zilizokosa mteja mnadani. Sababu ya kufikiria hilo…