JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RITA kuondolea adha uhakiki wa vyeti

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umewataka wanafunzi wanaohakiki vyeti vya kuzaliwa kwa ajili ya mikopo kuzingatia maelekezo ili iwe rahisi kupata huduma. Ofisa Habari wa RITA, Grace Kyasi, amelieleza JAMHURI kuwa kuna…

DC: Wastaafu msioe watoto, mtakufa 

ARUSHA Na Bryceson Mathias Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Sophia Mjema, amewaasa wastaafu kutotumia mafao watakayopata kuoa watoto wadogo au kuolewa na vijana, akisema watawasababishia kufa kwa kihoro. Sophia ameyasema hayo wakati akifungua semina ya elimu kwa wastaafu watarajiwa zaidi…

Yah: Chakula cha jioni kilicholiwa kwa kuzunguka sinia, ungo

Kwanza niwatakie habari njema waungwana wa uga huu wa ‘Waraka wa Mzee Zuzu’ mnaonijulia hali kila iitwapo leo, lakini pia wale wote mnaoguswa na kile ninachokiandika.  Si lazima kila mtu anielewe kwa sababu ninaamini msomaji wa waraka huu lazima awe…

Lugha ni msingi wa umoja

Umoja ni tabia ya kuungana ili kutekeleza shughuli fulani katika kundi kwa pamoja. Tabia hii ni ya binadamu, na baadhi ya wanyama na wadudu. Lengo la kuungana au kuwa na umoja ni kujipatia nguvu zaidi na uwezo zaidi katika kutenda…

Dk. Mpango alikoroga

*Atoa maagizo nje ya mipaka ya Makamu wa Rais kikatiba *Wataalamu wasema kisheria hapaswi kusimamisha kazi watendaji *Warejea tamko la trilioni 2, wataka amheshimu Rais Samia *Wamtahadharisha asitoe matamko ya kiserikali akiwa kanisani Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Makamu…

UNYANYASAJI WA URAIA…  Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu

NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa…