JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bandari ya Bagamoyo itumike kumuenzi JPM

BAGAMOYO  Na Mwandishi Wetu Kwa kiasi kikubwa nguzo za uchumi wa Kenya, mbali na utalii, ni kupakana kwa taifa hilo na Bahari ya Hindi na kuifanya Bandari ya Mombasa kuwa lango kuu la biashara kimataifa. Miezi michache iliyopita, Rais Uhuru…

La Stendi ya Magufuli Makalla umekosea

Na Joe Beda Rupia Amos Gabriel Makalla. Jina hili si geni kwa wengi. Huyu si mgeni katika nyanja za uongozi. Wala si mgeni hata kidogo katika siasa.  Kwa miaka mingi tu sasa amekuwa akisikika, kwanza katika viunga vya Ofisi Ndogo…

Msungu: Jamani ni sanaa tu!

DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Msanii wa filamu nchini, Stanley Msungu, amewatoa hofu mashabiki wake akisema kinachoonekana jukwaani si maisha yake halisi. Akizungumza na JAMHURI jijini hapa, Msungu anasema kumekuwa na shaka miongoni mwa mashabiki wa filamu wakihisi kwamba…

MOI yafundisha wataalamu zaidi wa upasuaji ubongo kupitia pua

*Mgonjwa hupona kwa muda mfupi  *Bima ya Afya ni suluhu upatikanaji huduma za kibingwa   DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imepiga hatua nyingine kwenye maboresho ya miundombinu na vifaa vya kisasa katika upasuaji wa ubongo…

Hili la Kariakoo litufundishe  kuheshimu miundombinu

Kuungua kwa soko la kimataifa la Kariakoo ni pigo kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam na taifa kwa ujumla, ingawa kwa hakika ni msiba mzito kwa mfanyabiashara mmoja mmoja aliyewekeza katika soko hilo. Kwa miaka mingi eneo zima…

Uwazi kikwazo sekta ya madini 

LINDI Na Christopher Lilai Moja ya mambo yaliyosababisha kuwapo kwa vurugu za kuzuia mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita ni kukosekana kwa uwazi. Mwanzoni, wananchi wengi hawakuielewa kiundani dhima ya…