Latest Posts
Kwaheri! Kwaheri! Profesa Ngowi
DODOMA Na Profesa Handley Mafwenga Profesa Honest Prosper Ngowi, mwanafalsafa wa uchumi uliyebarikiwa na Mungu, uliyebarikiwa na ndimi njema za wanazuoni waliopenda maandiko yako, na kupendezewa na ulimi wako uliotema ubora wa masuala ya uchumi, fedha, na biashara. Profesa usiyechoka,…
Tumechagua kuishi kinafiki na Manula
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Umewahi kumshuhudia Aishi Manula akiwa na siku mbaya ofisini kwake, yaani katika lango la Simba au Taifa Stars? Kwa hakika huwa anatia huruma. Ngoma za masikio yake hupokea kila neno chafu kutoka kwa mashabiki….
Kombe la Dunia Qatar 2022
Tayari mataifa yatakayoshiriki fainali za Kombe la Dunia huko Qatar baadaye mwaka huu yamekwisha kufahamika, huku nafasi chache zilizosalia zikitarajiwa kujazwa Juni 13 na 14 mwaka huu katika hatua ya mchujo (inter-confederation play-offs); pamoja na mechi kati ya Ukraine na…
Urusi haiepukiki
*Mataifa yanayochimba mafuta yapuuza maagizo ya Marekani RIYADH Saud Arabia Leo ni siku ya 40 tangu Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alipotangaza na kuanzisha kile anachokiita ‘Operesheni ya Kijeshi’ nchini Ukraine; huku jumuiya ya kimataifa ikikitafsiri kama ni uvamizi wa…
Kigugumizi cha nini Katiba mpya?
MOROGORO Na Everest Mnyele Wakati mwingine huwa ninajiuliza, nini sababu ya kigugumizi kwa Watanzania, hasa viongozi kuhusu Katiba mpya wakati rasimu tunayo? Rasimu hiyo imetokana na mawazo au maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Warioba iliyoteuliwa na Rais wa…
Pumzika Sheikh Abeid Amani Karume
Alhamisi hii Tanzania inafanya kumbukizi ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar, mwanamapinduzi Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye sasa anatimiza miaka 50 tangu alipouawa kwa kupigwa risasi Aprili 12, 1972. Huo ndio uliokuwa msiba wa kwanza mzito kwa taifa…





