JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ananga vituo vya redio

Imedaiwa kwamba kuporomoka kwa muziki wa dansi kumesababishwa na baadhi ya vituo vya redio zilizomo humu nchini kutokupiga muziki huo mara kwa mara. Madai hayo yametolewa na mwimbaji nguli, Khadija Mnoga ‘Kimobitel’, ambaye ametamka kuwa nyimbo za bendi za zamani…

Yanga, GSM na corona

Mashabiki wa Yanga wanalia. Wengi wanazungumza mambo mengi hasa katika kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo kwa sasa. Kisa ni sakata la klabu na Kampuni ya GSM ambayo iliamua ‘kujitolea’ kuwasaidia. Katika kipindi hiki ambacho dunia imejaa hofu ya virusi…

CORONA

Kwamba ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona upo nchini; hii inafahamika kwa watu wengi kwa sasa, lakini kubwa linalosisitizwa na wataalamu ni kuwa ugonjwa huu si sawa na mafua ya kawaida kama wengine wanavyodai. Utafiti unaonyesha kuwa virusi…

Mzaha katika mambo makubwa

Ujinga ni pepo la mabwege. Ndivyo Mpita Njia (MN) anavyoanza kwa kusema. Anasema hivyo kwa sababu tangu serikali itangaze uwepo wa wagonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona, baadhi ya watu wanajitoa akili na kuleta mizaha mbele ya ugonjwa…

CORONA

Ukweli dhidi ya uzushi Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa corona miezi kadhaa iliyopita, kumekuwa na taarifa nyingi zinazotolewa kupitia vyanzo mbalimbali. Lakini baadhi ya taarifa hizo hazina ukweli kuhusiana na ugonjwa huo. Zipo taarifa nyingine ambazo ni za uzushi ingawa…

CORONA

Vita sasa ni kusaka chanjo Miezi mitatu baada ya virusi vya corona kuibuka nchini China na kusambaa duniani kote, wanasayansi hivi sasa wamejikita katika kutafuta chanjo ya ugonjwa huo. Tayari majaribio ya chanjo hiyo kwa binadamu yameanza wiki iliyopita katika…