JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wauza ‘unga’ wabuni mbinu

Wafanyabiashara haramu ya dawa za kulevya nchini wamebuni mbinu mpya za kukwepa kukamatwa na vyombo vya dola wanapofanya biashara hiyo, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebainisha kuwa wafanyabiashara wamefikia hatua hiyo kwa nia ya kusafirisha ‘mizigo’ bila kukamatwa. Kwasasa…

Kiwanda chaharibu mazingira

Wakazi wa Mtaa wa Kilongawima, Kata ya Kunduchi, wilayani Kinondoni, wameulalamikia uongozi wa kiwanda cha kuoka mikate cha Gulled Industry, kilichopo eneo hilo kutokana na kushindwa kudhibiti harufu mbaya inayotoka kiwandani humo. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wanasema kiwanda…

Sigara feki zatinga Dar

Biashara ya magendo imechukua sura mpya, baada ya kubainika kuwa sigara zisizolipiwa ushuru tayari zipo katika soko la Dar es Salaam, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. “Kwa sasa zinatumika mbinu mbili. Sigara za Export watu wanatengeneza makasha ya Portsman na SM….

Tuweke vipaumbele 2017

Leo zimesalia siku nne kuhitimisha mwaka 2016. Kwa wazazi wengi wiki hii na ijayo si wiki za furaha sana. Wakati watoto wanafurahi kuongeza umri wa kuishi duniani, wazazi wengi wanajiuliza ada za shule inakuwaje. Mwezi Desemba, 2016 umekuwa tofauti na…

Uchaguzi Ghana somo kwa upinzani Tanzania?

Demokrasia ya Afrika imezidi kumea na kuchukua mwelekeo mpya kwa kuendelea kuibua taswira mpya ya tafsiri ya demokrasia na utawala bora, tangu kuibuka kwa wimbi la upepo wa mageuzi kwenye utawala wa kidemokrasia kupitia sanduku la kura kwa nchi nyingi za Afrika kama vile…

Vyombo vya habari binafsi

Kwa wiki mbili sasa sijaonekana katika safu hii. Niwie radhi msomaji wangu sikuchagua kutokuwapo, bali kutokana na kazi nzito ya kuchunguza magendo mpakani huko Tunduma, ilinipasa nisiwe mshika mawili. Leo nimerejea. Salamu za heri huwa hazichachi. Msomaji wangu nakutakia heri…