Latest Posts
Tanzania, Uganda zawela histora ujenzi wa bomba la mafuta ghafi Afrika Mashariki
Mradi wa EACOP kuleta mabadiliko ya kiuchumi, ajira na huduma za kijamii Afrika Mashariki *Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda aisifu Tanzania kwa kasi ya utekelezaji *Tanzania yafikia asilimia 79 ya ujenzi wa mradi *Mhe. Salome asema…
Wananchi wakumbishwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuwa makini katika kipindi cha msimu wa mvua ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na kujaa kwa maji katika maeneo ya miundombinu ya barabara. Rai hiyo imetolewa na…
Flyover ya Kwanza ya Dk Hussein Ali Mwinyi iliyofunguliwa na Rais Mwinyi eneo la Mwanakwereke Z’bar
Muonekano wa Flyover ya Kwanza ya Dk Hussein Ali Mwinyi iliofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi katika katika eneo la Mwanakwerekwe. Ikiwa ni katika Shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye kauli mbiu…
Pwani yaendelea kuzalisha ajira kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo unaendelea kutekeleza vipaumbele vya Serikali kwa vitendo, hususan katika eneo la uzalishaji wa ajira kwa vijana, hatua inayolenga kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Mama Maria Nyerere apokea nishani ya ya baba wa taifa
Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri ya Angola ya kutambua mchango wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika…





