Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Washauri walioteuliwa hivi karibuni wa mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii, Mhe. Abdallah Bulembo, Mhe. Haji Omar Kheir, Mhe. Rajab Luhwavi na Mhe. William Lukuvi mara baada ya kuwaapisha Mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2023. Post Views: 29 Post navigation Chongolo afunguka sakata la bandari TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo