Rais Dkt.Mwinyi amtembelea mwanasiasa maarufu Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar, Mhe. Mohammed Raza Daramsi alipofika nyumbani kwake Kibweni Wilaya ya Magharibi “A” Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo.(Picha na Ikulu). Post Views: 29 Post navigation Serikali kuja na mpango ufugaji nyuki wa manzuki Serikali yapiga marufuku wauzaji viwanja vya 20 kwa 20