KimataifaRais Samia aanza ziara ya siku moja nchini Congo DRC Jamhuri2 years ago01 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo wakipokea Gwaride rasmi alipowasili katika Viwanja vya Ikulu Jijini Kinshasa kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku moja nchini DRC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akikagua Gwaride rasmi alipowasili katika Viwanja vya Ikulu Jijini Kinshasa kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku moja nchini DRC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo alipokua akitambulishwa kwa Viongozi mbalimbali wa DRC alipowasili katika Ikulu ya Kinshasa kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku moja Post Views: 18 Post navigation Previous: Serikali yatangaza mapumziko siku ya SensaNext: Kanali Joseph Bakari atunukiwa nishani Jeshi Shirikisho Urusi
Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru Jamhuri6 days ago6 days ago 0