Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) yaliofanyika katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam Desemba 16, 2023.
Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea kitabu cha miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda wakati wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza hilo katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika viwanja vya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) kwa ajili ya kushiriki kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkurugenzi wa Chapa na Uchapishaji kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Edward Haule kuhusu shughuli mbalimbali za uchapaji wa Mitihani pamoja na Nyaraka mbalimbali wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Baadhi ya Wanafunzi wakiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akiwa amenyanyua juu Tuzo ya Shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) yaliofanyika katika Ofisi za Baraza hilo Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.

By Jamhuri