Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kimataifa la Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation (EGPAF) Chip Lyons pamoja na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Januari, 2023.

By Jamhuri