Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 2, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia azindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mkazi wa Gairo Melina Yustino Mkasanga ambaye amejifungua mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta
kitambaa kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya ya Gairo mara baada ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na
viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na madaktari pamoja na Wauguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mkazi wa Gairo Melina Yustino Mkasanga ambaye amejifungua mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya ya Gairo mara baada ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024
Post Views:
373
Previous Post
Rais Samia kuanza ziara Morogoro leo
Next Post
Haniyeh wa Hamas kuzikwa leo Qatar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
Habari mpya
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji