JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: chelsea

Chini ya Kapeti, Meneja wa Chelsea Antonio Conte Kuondoka Chelsea

Meneja wa Chelsea Antonio Conte anatarajiwa kuondoka Chelsea kwa saa 48 zijazo na nafasi yake huwenda ikachukuliwa na  Meneja wa zamani wa Barcelona Luis Enrique.

Chicharito Ainyima Ushindi Chelsea

Mshambuliaji Javier Hernandez ‘Chicharito’ akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea…

Chelsea yaifuata Manchester United Nusu fainali -FA CUP

Michuano ya FA Cup kuelekea hatua ya nusu fainali imepigwa hapo jana kwa michezo miwili ,Wigan Athletic waliondoshwa na Southampton katika michuano hiyo kwa kichapo cha bao 2-0 , huku Chelsea wakichomoza na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Leceister…

WATFORD YAISHUSHIA KIPIGO CHA PAKA MWIZI CHELSEA, YAIKUNG’UTA GOLI 4-1

Watford ilifunga mabao matatu ya dakika za lala salama kushinda mechi ya kwanza ya mkufunzi Javi Gracia dhidi ya Chelsea ,ushindi unaompatia shinikizo kali mwenzake wa Chelsea Antonio Conte. Chelsea ilicheza takriban saa moja ikiwa na wachezaji 10 baada ya…

ARSENAL, CHELSEA HAKUNA MBABE

Arsenal wameilazimisha sare ya 0-0 Chelsea katika uwanja wa Stamford Bridge Alexis Sanchez akianzia benchi na Wilshere akipata majeraha Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amesisitiza kuwa uamuzi wake kumwanzisha Alexis Sanchez benchi kwenye mechi za Kombe la EFL dhidi ya…

ARSENAL, CHELSEA ZASHINDWA KUTAMBIANA

Mchezo mmoja wa ligi kuu Uingereza uliopigwa jana usiku uliwakutanisha timu mbili zinazotoka mji mmoja London, Arsenal na Chelsea zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya mabao 2-2. katika mchezo Chelsea ilipaswa kupata pointi zote tatu katika mechi hiyo kwani…