Pochettino Matatani

Bundi ameanza kulia ndani ya klabu ya Tottenham ya London baada ya kujikuta ikisukumwa nje ya  timu nne za juu (top 4) hadi  kuangukia nafasi ya sita. Baada ya kupata ushindi dhidi ya klabu ya Real Madrid na ushindi wa ugenini dhidi ya  Borussia Dortmund katika mashindano ya klabu bingwa barani  Ulaya (UEFA) Tottenham imeendelea…

Read More