Afisa Msajili Mkoa wa Morogoro Ndg. Sererya Wambura (kulia\0 akiwa pamoja na Afisa Mchambuzi Mifumo ya Kompyuta wa NIDA Ndg. Rajabu Kabeya wakipitia ripoti za Usajili na Utambuzi wa watu za mkoa wa Morogoro.
Ndg. Thabit Salum Likanyaga Mwenyekiti Serikali ya Mtaa wa Kilongo, Kata ya Mkundi akigawa fomu kwa wananchi wa mtaa wake kwa ajili ya zoezi la uchukuaji alama za kibaiolojia linaloendelea kwenye mtaa huo.

 

 
Wananchi Kata ya Kihonda Kaskazini, Mtaa wa Yespa wakiwa kwenye harakati za kujaza fomu na wengine wakiwa katika hatia ya kupigwa picha, kuweka saini ya kielektroniki na kuchukuliwa alama za vidole.
Maafisa Wasajili Wasaidizi Ndg. Alice Makarara aliyeketi na Ndg, Aziza Makoa wakitoa huduma kwa wateja waliofika ofisi ya wilaya ya NIDA ya Usajili Morogoro kuchukua vitambulisho vyao. Aliyeketi meza ya pembeni yao ni Ndg. Lucy Alphonce. Afisa Msajili Msaidizi wa NIDA akichakata taarifa za waombaji Vitambulisho vya Taifa Morogoro. 

 

By Jamhuri