Habari MpyaZungu akutana na Spika Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco jijini Rabat Jamhuri2 years ago2 years ago01 mins Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongozana na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco. Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami katika kikao kilichofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiagana na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco. Post Views: 20 Post navigation Previous: Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu DarNext: Taarifa kwa umma kuhusu uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki