JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bunge la 12 lawaaga Watanzania kupitia Bonanza la kihistoria Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wabunge, Viongozi wa Serikali, Mashirika binafsi na wananchi wameungana jijini Dodoma katika kilele cha Bonanza Maalum la Bunge maarufu kama Grand Bunge Bonanza ambalo kwa mwaka huu limefanyika kama tukio la mwisho kwa Bunge la 12. Bonanza…

Tanzania, Urusi kuimarisha sekta ya nishati

TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA SEKTA YA NISHATI 📌 Dkt. Biteko awakaribisha Warusi kuwekeza katika nishati safi ya kupikia 📌 Urusi kuisaidia Tanzania katika afya, usalama mtandao na ulinzi wa miundombinu 📌 Kampuni kubwa ya nishati duniani INTER RAO Export yaonesha…

Serikali yatenga Bmbilioni 11/- kuboresha miundombinu ya michezo shuleni

Na OR-TAMISEMI, Iringa NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinyijuma amesema Serikali imetenga Shilingi Bilioni 11 kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule 10, kati ya shule 56 maalum za michezo zilizopo…