JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mabingwa Lina PG Tour 2024 kushuka dimbani kesho, michuano ya gofu Dubai

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI watatu bora wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour 2024 wapo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jijini Dubai kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kimataifa ya Clutch Tour Tier 1 yanayoanza kutimua vumbi…

Ni maono ya Dk Samia wananchi wote wapate umeme -Kapinga

๐Ÿ“Œ Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme ๐Ÿ“Œ Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha umeme ๐Ÿ“Œ Nishati ya umeme yauongezea ufanisi Zahanati ya Mang’oto Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith…

COSTECK imetenga milioni 600 kutekeleza miradi minne ya ubunifu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma TUME ya Taifa ya Sayansi,Teknolojia na Ubunifu(COSTECH)imetenga milioni 600 kwa ajili ya kutekelezwa miradi minne ya usalama wa chakula,ikihusisha udhibiti wa magonjwa ya mazao,uboreshaji wa uhifadhi wa chakula na ubunifu wa vyakula vyenye virutubishi vya hali ya…

NSSF yaongeza thamani ya mfuko kwa asilimia 92

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kutambua mchango wa sekta binafsi katika kukuza uchumi, Serikali imewezesha ukuaji mkubwa wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), ambapo thamani ya mfuko imeongezeka kwa asilimia 92, kutoka TZS bilioni…

Kamati ya Bunge yapongeza miradi ya TEHAMA, yataka wabunifu walindwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Selemani Moshi Kakoso, imefanya ziara katika ofisi za Tume ya TEHAMA (ICTC) kwa kukagua shughuli za taasisi hiyo, ikiwemo mradi wa…

Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali

MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyangโ€™wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa…