JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Biteko ataja maeneo sita ya vipaumbele utekelezaji wa ilani ya CCM 2020/2025

📌 CCM yajivunia kuimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii 📌 Rais Samia asema CCM kuzindua Ilani yake kesho 📌 CCM yazalisha ajira 800,000 kwa vijana 2020/2025 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya…

Waziri Ndejembi aahidi mageuzi sekta ya ardhi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia – Dodoma Bunge limeidhinisha bajeti ya Sh bilioni 164 kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambapo Waziri Deogratius Ndejembi ameahidi kuibadili sekta hiyo kwa kuweka mifumo madhubuti ya…

Tanzania, Finland kuboresha ujasiriamali nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam UBALOZI wa Finland nchini umesema utaendelea kushirikiana na Tanzania katika kuongeza umuhimu wa matumizi ya mifumo ya kidijiti kwa vijana wajasiriamali ili kuboresha huduma za umma na ujasiriamali. Balozi wa Finland nchini, Theresa…

Vijana waitwa kuwekeza mazao ya bahari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darces Dalaam TUME ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) imewaita vijana kuwekeza kwenye uchumi wa Buluu kupitia ubunifu katika mazao ya bahari ikiwemo mimea ya bahari, magamba ya chanza na mengineyo. MKurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dk…

Rais Samia apongezwa kuanzisha bima ya afya kwa wote

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora RAIS wa awamu ya 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kuanzisha mpango wa Bima ya Afya kwa wote hapa nchini kwa kuwa itawezesha wananchi kupata huduma bora za…

Fanyeni ukaguzi kwa weledi bila ya kumwonea mchimbaji yoyote – Mhandisi Kamando

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza WAKAGUZI wa Migodi ya Madini na Baruti wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, kuongeza ufanisi na kufuata taratibu na sheria za nchi katika utoaji wa huduma. Hayo yamesemwa leo Mei 29, 2025 na Mkurugenzi wa Ukaguzi…