Author: Jamhuri
TPA yazindua zoezi la ukaguzi wa malori yanayohudumia bandarini
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini imeanza rasmi zoezi la ukaguzi wa ubora wa malori yanaingia bandarini kwa ajili ya kushusha na kupakia mizigo inayopita katika…
Rais Samia apeleka neema ya maji Kasulu
Na Allan Kitwe, Kasulu SERIKALI ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka zaidi ya sh bil 40 katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji safi na salama ili kumaliza…
Mashindano ya Taifa kuogelea kwa vijana yaendelea kuibua vipaji vipya
Na Lookman Miraji Mashindano ya taifa kwa vijana katika mchezo wa kuogelea yameendelea kuleta msisimko kwa wadau wa mchezo huo nchini. Mashindano ya hayo ya taifa kwa vijana yamefanyika mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kalenda ya mwaka ya chama…





