Jafo:Waliovamia vyanzo vya maji waondoke haraka

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo (Mb) amewataka wananchi wote waliovamia bonde la Ihefu ambalo ni chanzo cha mto Ruaha Mkuu kuondoka mara moja ili kuondokana na athari zilizopelekea mto Ruaha Mkuu kutotiririsha maji kwa miezi mitatu mfululizo. Ameyasema hayo katika kikao kilichowahusisha Mawaziri nane wa Kisekta,…

Read More