JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2022

‘Iringa sio soko la wafanyakazi wa ndani’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Iringa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa vijijini (UVCCM), Elia kidavile amewataka wanafunzi wanaohitimu darasa na saba kukataa kwenda kufanyakazi za ndani pindi wanapohitimu elimu ya msingi. Akizungumza kwenye mahafali ya…

TANESCO: Ukame waathiri mabwawa 4 ya umeme

Na Stella Aron,JamhuriMedia Kutokana na ukame unaoikumba nchi, mabwawa ya kuzalisha umeme ya Hale, Kihansi, Nyumba ya Mungu na Pangani yenye uwezo wa kuzalisha megawati 266 za umeme yamepungua uwezo wake na kwa sasa yanazalisha megawati 34 za umeme tu…

Tanzania ina idadi ya watu milioni 61.7

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua matokeo ya Sensa ya Watu na Mkazi kwa mwaka 2022 ambapo amesema kuwa Tanzania ina watu milioni 61, 741, 120. Akizindua matokeo ya Sensa leo Oktoba 31,2022 katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma na kuhudhuriwa…

Simba yaitwika mzigo Mtibwa Sugar 5-0

Klabu ya Simba imeamua kuifanyia ukatili Mtibwa Sugar baada ya kuinyeshea mvua ya magoli 5-0 na kuondoka na ushindi huo muhimu wa ligi kuu Tanzania bara. Kipindi cha kwanza Simba Sc ilifanikiwa kupata bao kupitia kwa Mzamiru na kuwapeleka mapumziko…