JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yatenga bajeti bil.15.77/- kwa TMA kwa mwaka wa fedha 2023/24

Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi katika mwaka wa fedha 2023/24 imetenga Shilingi bilioni 15.77 kwa ajili ya Bajeti ya matumizi ya kawaida ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Fedha hizo, Shilingi…

Serikali yazindua rasmi mfumo wa kidigitali kusajili Diaspora wenye asili ya Tanzania

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi mfumo wa kuwasajili Diaspora wenye asili ya Tanzania Kidigitali (Diaspora Digital Hub). Akizindua rasmi mfumo huo Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Mashariki, Mhe. Dkt Stergomena…

Shaib: Rais Samia anafanyakazi kubwa kutanua wigo sekta ya uwekezaji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Kiwanda cha Sapphire Float Glass (Tanzania) Company Limited, kilichopo Mkiu wilaya ya Mkuranga, Mkoani Pwani kinatarajia kuanza uzalishaji mwezi Septemba mwaka huu na kugharimu USD 311 sawa na fedha za kitanzania sh.bilioni 700. Aidha kinatarajia…

Serikali kujenga mizani mipya kudhibiti uharibifu wa barabara

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)  ipo katika hatua mbalimbali za kujenga mizani mpya katika mtandao wa barabara kuu nchini ili kudhibiti uharibifu wa barabara unaosababishwa na uzidishaji uzito wa…

Ujenzi daraja Wami wakamilika, JPM wafikia asilimia 72

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imesema kuwa katika mwaka wa fedha 2022/23, miradi ya barabara kuu iliyopangwa kutekelezwa ni ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabara zenye urefu wa kilometa 470 pamoja na ukarabati kwa kiwango cha lami wa…

Sakata la kifo cha watoto mapacha Kaliua, watumishi wanne kufikishwa kortini

Watumishi wanne wa Kituo cha Afya Kaliua, wilayani Kaliua Mkoani hapa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha watoto mapacha waliofariki katika mazingira ya kutatanisha baada ya kuzaliwa. Mkuu wa Mkoa huo Balozi Dkt.Batilda Burian ameeleza kuwa…