Author: Jamhuri
Madiwani Msalala watoa pongezi kwa Rais Samia kuimarisha sekta ya elimu
Na Mwandishi Wetu Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga wamemwagiza mkuu wa wilaya hiyo, Mboni Mhita na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mary Mhoha kufikisha salamu za pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Ni kutokana na kuongeza…
Abria 40wanusurika kifo ajali ya basi la Mining Nice Lindi
Abiria 40 waliokuwa wanasafiri na Basi la Kampuni ya Maning Nice kutoka mkoani Mtwara kwenda Morogoro wamenusulika kiifo kufuatia gari walilokuwa wakisafiria kuacha barabara na kupinduka. Kwa mujibu wa mashuhuda na abiria waliokuwa wanasafiri na basi hilo walisema ajali hiyo,imetokea…
Serikali kuwaunga mkono vijana wabunifu
Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono vijana wanaobuni teknolojia mbalimbali zinazosaidia katika kutatua changamoto za mazingira zinazoikabili nchi yetu. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo wakati akifungua Kongamano la Bunifu…