JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mchango wa sekta ya madini kufikia asilimia 10 pato la taifa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Muelekeo wa Sekta ya Madini unalenga Katika kuhakikisha mchango wa sekta ya Madini Katika Pato la Taifa unafikia asilimia 10 na zaidi Ifikapo mwaka 2025 kama inavyofafafanuliwa Katika Dira ya Maendeleo ya Taifa ya Madini…

REA kusambaza mitungi ya gesi hadi vijijini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma WakalaAm wa Nishati Vijijini (REA), umeanza kutekeleza Mradi wa kusambaza mitungi ya gesi ya kupikia kwa utaratibu wa utoaji ruzuku ambapo umewezesha usambazaji wa mitungi ya gesi ya kupikia (LPG) 71,000 yenye thamani ya shilingi…

Tume ya madini yaimarisha uwekezaji kwa kutoa leseni 9,642

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katika Mwaka wa Fedha 2022/2023, Tume ya Madini imefanikiwa kutoa jumla ya leseni za uchimbaji madini 9,642 kati ya leseni 9,174 zilizopangwa kutolewa na tume hiyo kwa mwaka wa fedha uliopita. Takwimu hizo zimetolewa leo…

RC Chalamila avunja uongozi soko la Mabibo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila, Agosti 17,2023 amevunja uongozi wa Soko la Mabibo na kuagiza  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU} kufanya uchunguzi  wa kina katika soko hilo na watakao bainika hatua za…

Sekta ya madini kuchangia asilimia 10 ifikapo 2025

Na Immaculate Makilika , JamhuriMedia, Dodoma MAELEZO Muelekeo wa Sekta ya Madini unalenga katika kuhakikisha Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa unafikia asilimia 10 au zaidi ifikapo mwaka 2025 kama inavyofafanuliwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa,…