Author: Jamhuri
TCAA atolea ufafanuzi kuhusu kibali cha ndege iliyokodiwa na CHADEMA
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema katika siku za hivi karibuni, hakuna chama chochote cha siasa ambacho kimeomba kibali cha kuingiza ndege nchini hayo yamesemwa leo wakati wa kutolewa kwa ufafanuzi wa habari iliyosambaa kuhusu kibali cha ndege…
Katibu Mkuu TALGWU awapongeza wanachama kusimamia mipango miji
Na Zephania Kapaya, JamhuriMedia, DodomaKatibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), amewapongeza wanachama kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusimamia ipasavyo suala la mipango miji, changamoto za ukuaji wa miji pamoja na kuchangia maendeleo endelevu katika Nchi…
Ummy : Hali ya lishe kwa vijana balehe bado ni changamoto
Na Mwamvua Mwinyi, Jamhurimedia, Mkuranga Tatizo la hali ya lishe kwa kundi la vijana balehe bado ni changamoto katika Mkoa wa Pwani ,licha ya mkoa huo kuwa wa kwanza kitaifa katika suala la lishe. Aidha tafiti za malaria na lishe…
Tanzania ya tatu kwa mazingira ya mazuri uwekezaji barani Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amebainisha kulingana na tafiti za kimataifa Tanzania ni nchi ya tatu kwa Mazingira mazuri ya Uwekezaji barani Afrika, ikitanguliwa na Nigeria…
Asasi, vyuo vikukuu wawasilisha mawasilisho 22 kwa HEET
ASISI na vyuo vikuu wamewasilisha mawasilisho 22 ya Maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa HEET, katika kikao kazi cha mradi wa mageuzi ya Kiuchumi kwa Elimu ya Juu. Mawasilisho hayo yamewasilishwa katika kikao kazi cha Wizara ya Elimu, Sayansi na…
Rais wa Ujerumani kutembelea makumbusho ya Majimaji, Songea
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema maandalizi ya kuupokea ugeni huo yamekamilika ambapo baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Songea ataenda moja kwa moja katika Makumbusho hiyo ya Vita vya MajiMaji. Amesema akiwa katika Makumbusho…