JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wawili wahukumiwa jela maisha kwa ubakaji watoto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tabora WATU wawili wakazi wa Wilaya ya Nzega na Uyui mkoani Tabora wamefikishwa mahakamani na Jeshi la Polisi na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la ubakaji watoto. Kamanda wa Jeshi la…

Dk. Sigalla:Kipengele cha afya ya uzazi EJAT kitapunguza mitazamo hasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jumla ya waandishi wa habari 92 wameshiriki katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri katika Uandishi wa Habari (EJAT) 2022 ambapo jumla ya kazi 883 ziliwasilishwa kutoka vyombo vya habari vya magazeti, radio, runinga na vyombo vya…

Ridhiwani awaasa wana-Chalinze kuondoa tofauti, kukimbilia maendeleo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amewaasa Wanachalinze kuondoa tofauti ili kufikia maendeleo ya kweli wanayoyahitaji. Ridhiwani ambae pia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora alitoa rai hiyo wakati,…

Dkt.Mpango: Serikali kuondoa changamoto zinazowakabili wakulima

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema serikali itahakikisha inaondoa changamoto za wakulima katika msimu mpya wa kilimo ikiwemo kusogeza huduma za mbolea ya ruzuku katika maeneo ya jirani zaidi na wakulima. Makamu wa…

Zambia yavutiwa na mfumo wa masoko ya madini nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Sekta ya Madini nchini Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa namna ilivyoweza kurasimisha sekta ndogo ya uchimbaji madini na hivyo kupelekea wachimbaji wadogo kufanya shughuli zao kupitia mfumo ulio rasmi ambapo…