Author: Jamhuri
Benki ya Dunia yaidhinishia Tanzania mkopo nafuu wa Trilioni 5
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuitengea Tanzania jumla ya dola za Marekani bilioni 2.1 sawa na shilingi trilioni 4.9 katika mzunguko wa 20 wa IDA…
Uhalisia wa kipimo cha DNA 700,000/- hadi 800,000/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imetaja vipaumbele mbalimbali vya mwaka 2022/23, ikiwamo kununua mitambo na vifaa vya kisasa pamoja na kuimarisha miundombinu ya uchunguzi wa kimaabara. Hayo yameelezwa leo Oktoba 11,2022 jijini Dodoma na…
Wapatiwa mafunzo uendeshaji mashauri ya wanyapori
Na Angel Meela,JamhuriMedia,Arusha Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania pamoja na Taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na Uhifadhi wa Mazingira na Usalama wa Wanyamapori ‘PAMS Foundation’ kinaendesha mafunzo ya uendeshaji wa mashauri ya…
Watano wafariki na wengine 31 wajeruhiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Watu watano wamekufa baada ya basi la Kyela Express kugongana uso kwa uso na basi dogo aina Toyota Coaster katika ajali iliyotokea mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ACP Benjamini Kuzaga amethibitisha kutokea kwa ajali…