JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makamu wa Rais ateta na mwenyekiti wa bodi wa AGRA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 07 Septemba 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Jumuiya ya Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika (AGRA) ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu wa…

Ruvuma yafanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa asilimia 122.2

MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa Watoto 398,029 sawa na asilimia 122.2. Katibu Tawala Msaidizi ,Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii Mkoani Ruvuma Dr.Lous Chomboko amesema Mkoa ulilenga kuchanja Watoto 325,746 katika awamu ya tatu ya…