Author: Jamhuri
Ahmed Ally:Tukosoeni hadi nusu fainali
Na Tatu Saad, JAMHURI Baada ya ushindi wa bao 1-0 walioupata jana Simba Sc dhidi ya Vipers ya Uganda, Afisa habari wa klabu ya Simba Sc Ahmed Ally amesema maneno yanayozungumzwa mtaani ni kama Simba Ndio imefungwa jana. Ahmed amefunguka…
Milton Karisa aitamani ligi ya Bongo
Na Mwandishi wetu, JAMHURI Mshambuliaji na nahodha wa timu Vipers ya Uganda amesema yupo tayari kucheza soka la Bongo kwani lina muamko na ushawishi mkubwa. Mshambuliaji huyo ambaye ni muhimu katika kikosi cha Vipers amesema soka la bongo linaopendwa na…
SIMBA NA YANGA KUAMUA ZAWADI ZA CAF
Na Tatu Saad, JAMHURI Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ limeweka hadharani zawadi kwa Bingwa wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la shirikisho msimu huu 2022/23. Zawadi kwa Bingwa wa Michuano hiyo imewekwa wazi, huku Ligi ya…
VIPERS YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA SC
Na Tatu Saadi, JAMHURI Washiriki pekee wa ligi ya klabu bingwa Afrika kutoka Tanzania Simba Sc, wameendelea kutembeza kipigo kwa Vipers kwa kuwafunga tena Leo katika uwanja wa mkapa jijini Dar es salaam. Simba Sc wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao…
Nape:Tuna pengo kubwa kidijitali kati ya wanawake na wanaume
Na Wilson Malima, Jamhuri Media. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amesema, licha ya kuongezeka kwa matumizi ya TEHAMA duniani, ushiriki wa Wanawake na Wasichana bado upo Chini hasa katika nchi zinazoendelea. Amesema, nchini Tanzania…
Aliyekuwa beki wa Mtibwa Sugar Iddy Mobby azikwa leo Shinyanga
Na Tatu Saad, Jamhuri Media Mwili wa aliyekuwa beki wa mtibwa Sugar Iddy Mobby umezikwa leo katika makaburi ya mshikamano, Ngokolo mjini Shinyanga. Mwili huo umehifadhiwa katika nyumba yake ya milele baada ya kufanyiwa ibada katika msikiti wa Madrasatu Aqswa…





