KimataifaRais Ruto akutana na Waziri Masauni katika mkutano wa Kimataifa wa ID4AFRICA jijini Nairobi Jamhuri10 months ago01 mins Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Somoei Ruto akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati alipokuwa anawasili Ukumbi wa Mikutano wa South C, jijini Nairobi nchini Kenya, leo Jumatano tarehe 24 Mei, 2023, kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa ID4AFRICA unaojadili masuala ya Ikolojia ya Utambuzi. Picha na Felix Mwagara – WMNN. . Post Views: 12 Post navigation Previous: UVCCM yazielekeza taasisi za kifedha, sekta binafsi kushirikiana kuinua vijanaNext: Waziri Bashungwa amshukuru Rais Samia kuendelea kuzipa kipaumbele shughuli za ulinzi
Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru Jamhuri5 days ago5 days ago 0