Author: Jamhuri
Mrema ni mtu hatari sana — Leo Lwekamwa
*Asema aliwahi kuitosa TLP dakika za mwisho na kuhamia NCCR-Mageuzi
*Mwanzo ilikuwa ahamie Chadema, Mtei akamkatalia akijua…
*Adai ana mipango ya Serikali
* Aamua kurudi CCM kujisalimisha
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Man. United ipo kazi mwaka huu
Ufwiliku huu wa nini?
Septemba 18, mwaka huu wa 2014 historia ilijirudia katika nchi yetu hii. Nasema hivi kwa sababu Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA), Mheshimiwa Freeman Mbowe alitiwa msukosuko wa kihistoria.
MK Group ilivyotesa miaka ya 1990
Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya Bahari Beach Dar es Salaam.
Habari mpya
- Rais Samia mgeni rasmi Mei Mosi
- Wanahabari wajadili mustakabali mpya sekta ya habari Tanzania
- Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini ndani ya Afrika
- Waziri Kombo aagana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro
- Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
- NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
- Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
- Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
- Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
- Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini