Author: Jamhuri
Mrema ni mtu hatari sana — Leo Lwekamwa
*Asema aliwahi kuitosa TLP dakika za mwisho na kuhamia NCCR-Mageuzi
*Mwanzo ilikuwa ahamie Chadema, Mtei akamkatalia akijua…
*Adai ana mipango ya Serikali
* Aamua kurudi CCM kujisalimisha
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Man. United ipo kazi mwaka huu
Ufwiliku huu wa nini?
Septemba 18, mwaka huu wa 2014 historia ilijirudia katika nchi yetu hii. Nasema hivi kwa sababu Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA), Mheshimiwa Freeman Mbowe alitiwa msukosuko wa kihistoria.
MK Group ilivyotesa miaka ya 1990
Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya Bahari Beach Dar es Salaam.
Habari mpya
- TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
- Taasisi 300 kufungiwa mifumo ya nishati safi ya kupikia 2026/2027
- Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
- Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
- Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
- Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
- Watanzania watakiwa kulinda amani
- Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
- Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
- Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga