Author: Jamhuri
Mwarobaini hutibu mnyauko wa migomba
Mwarobaini ni mojawapo ya mimea maarufu yenye kinga dhidi ya wadudu waharibifu. Ndani yake kuna dawa inayoweza kutolewa kwa urahisi na kutayarishwa na kutumika kama dawa ya mimea ya kuulia wadudu.
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
EFD kuongeza mapato ya Serikali wapiga kura
Serikali imeamua kuanzisha mfumo wa uotoaji risti kwa kutumia Mashine za Kielekitroniki za Bodi (EFD). Kwa mujibu wavuti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mfumo huo unachukuwa nafasi ya mashine za rejesta za fedha ambazo zimekuwa zikitumika zamani.
Mashine hizo hazikukidhi mahitaji yaliyotarajiwa ikiwa ni pamoja na kurahisisha mauzo kwenye sehemu za biashara.
- Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii
- Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo
- Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa
- Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora
- Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda
Habari mpya
- Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii
- Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo
- Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa
- Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora
- Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda
- Nyamka : Viongozi ngazi ya chini watakiwa kuwafikia na kuwahudumia wananchi
- Mwenyekiti CCM Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu Dar
- Serikali yamwaga mil.100/- yapunguza msongamano Hospitali ya Jiji Dodoma
- Mei Mosi 2026 kufanyika viwanja vya Dole
- Kagera kunufaika na mpango wa Mkoa wa Afya Moja
- TCDC yashiriki zoezi la upandaji miti Njombe
- Upatikanaji dawa wa uhakika waipaisha MSD, waimwagia sifa Serikali
- Z’bar waliweza, Tanzania hatutashindwa
- Serikali yaendelea kudhibiti kipindupindu, mafunzo yatolewa kwa wataalam
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus kutembelea nchini