Author: Jamhuri
Mwarobaini hutibu mnyauko wa migomba
Mwarobaini ni mojawapo ya mimea maarufu yenye kinga dhidi ya wadudu waharibifu. Ndani yake kuna dawa inayoweza kutolewa kwa urahisi na kutayarishwa na kutumika kama dawa ya mimea ya kuulia wadudu.
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
EFD kuongeza mapato ya Serikali wapiga kura
Serikali imeamua kuanzisha mfumo wa uotoaji risti kwa kutumia Mashine za Kielekitroniki za Bodi (EFD). Kwa mujibu wavuti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mfumo huo unachukuwa nafasi ya mashine za rejesta za fedha ambazo zimekuwa zikitumika zamani.
Mashine hizo hazikukidhi mahitaji yaliyotarajiwa ikiwa ni pamoja na kurahisisha mauzo kwenye sehemu za biashara.
- Dkt. Munisi: Viongozi wa dini hubirini maadili mema, kudumisha amani nchini
- Maono ya Rais Samia yazidi kupata msukumo, GEL yajenga kizazi cha sayansi na teknolojia
- Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
- Sheria ya NHIF kupanua wigo wa wanachama na kuboresha huduma
- NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Habari mpya
- Dkt. Munisi: Viongozi wa dini hubirini maadili mema, kudumisha amani nchini
- Maono ya Rais Samia yazidi kupata msukumo, GEL yajenga kizazi cha sayansi na teknolojia
- Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
- Sheria ya NHIF kupanua wigo wa wanachama na kuboresha huduma
- NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
- Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia
- Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
- NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
- Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
- CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
- NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
- Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
- Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
- Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
- TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango