Author: Jamhuri
Okwi awanyong’onyesha Simba
Pengo lililoachwa na mshambuliaji mahiri wa kikosi cha Simba, Emmanuel Okwi, limewanyong’onyesha mashabiki kiasi cha kupungukia matumaini ya kuona timu hiyo ikifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara, msimu huu.
Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo
Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone, je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
- Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari
- Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme
Habari mpya
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
- Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari
- Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme
- MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
- Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
- WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
- Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
- Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
- Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
- Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
- Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai
- Kafulila: Elimu ijikite katika umahiri na uzalishaji
- Baja : Hospitali Benjamin Mkapa yashika nafasi ya kwanza kwa ubora wa utoaji huduma