Author: Jamhuri
Okwi awanyong’onyesha Simba
Pengo lililoachwa na mshambuliaji mahiri wa kikosi cha Simba, Emmanuel Okwi, limewanyong’onyesha mashabiki kiasi cha kupungukia matumaini ya kuona timu hiyo ikifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara, msimu huu.
Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo
Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone, je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
Habari mpya
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
- Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
- Demokrasia si ya kuiga, ijengwe kwa msingi ya nchi
- Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
- Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
- Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
- MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya
- Rais Samia apokea ripoti ya matukio ya Oktoba 29 Ikulu Dar
- Mchengerwa: Hospitali ya Benjamini Mkapa ni kioo cha taifa
- Vitongoji vyote Tanzania Bara kuwa na umeme ifikapo mwaka 2030- Waziri Ndejembi
- Waziri Ndejembi awasilisha Bajeti ya Wizara ya Nishati 2026/27 bungeni