Author: Jamhuri
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Hivi karibuni Taifa letu la Tanzania limesherehekea sikukuu mbili muhimu na za kihistoria. Bara tulikuwa na sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Taifa letu Desemba 9, 2012 na Zanzibar tulikuwa na sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi, Januari 12, 2013. Ni sikukuu za kihistoria maana bila kupata Uhuru toka kwa mkoloni na bila kumpindua Sultan sidhani kama tungekuwa na Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania .
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Mtwara wapewe asilimia mbili
Kwa muda wa mwezi mzima wananchi wa Mkoa wa Mtwara wapo kwenye maandamano. Maandamano haya yanaelekea kulifikisha taifa katika uvunjifu wa amani. Wananchi wanatumia nguvu, na kuna uwezekanao Serikali nayo itafika mahala itaishiwa uvumilivu itaanza kutumia nguvu. Mungu apishe mbali.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
NICOL yamsafisha Mengi
Kampuni ya Taifa ya Uwekezaji (NICOL), imemsafisha mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP, Reginald Mengi kuhusu tuhuma za kuidhoofisha kampuni hiyo.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
Habari mpya
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
- Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
- Demokrasia si ya kuiga, ijengwe kwa msingi ya nchi
- Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
- Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
- Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
- MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya
- Rais Samia apokea ripoti ya matukio ya Oktoba 29 Ikulu Dar
- Mchengerwa: Hospitali ya Benjamini Mkapa ni kioo cha taifa
- Vitongoji vyote Tanzania Bara kuwa na umeme ifikapo mwaka 2030- Waziri Ndejembi
- Waziri Ndejembi awasilisha Bajeti ya Wizara ya Nishati 2026/27 bungeni