JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

LATRA yatangaza ruti mpya 10 za daladala Dar

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini (LATRA), imetangaza ruti mpya 10 za daladala zitakazoanzia katika Kituo kipya cha Mwenge, jijini Da es salaam LATRA imeoredhesha ruti hizo kuwa ni, Mwenge kwenda Mbande Kisewe kupitia Barabara ya Mandela, Kilungule.  Mwenge kwenda Buza…

Dk Biteko apongeza juhudi za Rais Dk Samia kustawisha demokrasia nchini

📌 Asema amekuwa mfano Kitaifa na Kimataifa 📌 Apongeza Baraza la Vyama vya Siasa kukusanya maoni Miswada ya Sheria za Uchaguzi 📌 Awasisitiza kwenda bungeni kutoa maoni ya miswada Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na…

Kapinga akutana na kampuni za ETDCO na TCPM

…………………………… Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga ameziagiza Kampuni za kutengeneza Nguzo za Zege Tanzania (TCPM) na Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme (ETDCO) kutekeleza kile walichokikusudia kwa maslahi mapana…

Pwani yatoa fedha na vifaa vya vyenye thamani ya milioni 107.2/- Hanang

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Hanang OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, ,wananchi na wadau Mkoani humo imetoa raslimali fedha na michango mbalimbali vyote vikiwa vimegharimu sh. milioni 107.2 kwa wakazi waliopata maafa ya mafuriko Hanang ,Desemba 3, 2023. Kati…

Pwani yalenga kuandikisha wanafunzi 51,446 darasa la kwanza, awali 55, 771

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge amefafanua kuwa, mkoa huo una malengo ya kuandikisha wanafunzi wa shule za awali  55,771 pamoja na wanafunzi 51,446 wa darasa la kwanza. Ameeeleza, hadi kufikia mwishoni mwa mwaka…