Category: Habari Mpya
Serikali kuwaondole vikwazo wafanyakazi TANESCO
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira imesema itashirikiana na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kuhakikisha inawajengea mazingira wezeshi wafanyakazi wa Shirika hilo kwa kuwaondolea vikwazo vinavyoweza kuwasababishia matatizo ya Afya ya akili hali…
Endelezeni mila zinazotuunganisha kusaidia kusukuma maendeleo- Sendeka
Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Simanjiro Wananchi wa jamii ya Kimasai wametakiwa kuendeleza mila zinazowaunganisha kuwa wamoja na zile ambazo zinasaidia kusukuma Maendeleo chanya na kuwaletea Uchumi imara kwa Taifa. Hayo yamebainishwa Jana na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka…
Urejeshaji hali Hanang waendelea
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama akiongoza zoezi ufunguaji wa barabara na uondoaji wa tope katika Mji wa katesh Halmashauri ya Hanang’ Wananchi wamepokea kwa muitikio chanya zoezi la kuhifadhi waathirika wa maporomoko…
Waziri Mbarawa aridhishwa na majaribio ya kichwa cha treni ya umeme
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Waziri wa Uchukuzi Professor Makame Mbarawa afanya ziara fupi ya kuona majaribio ya kichwa cha treni ya umeme cha reli ya kiwango cha kimataifa – SGR kilichopo kwenye stesheni ya Pugu jijini Dar es Salaam…
Bashe :Maafisa ugani wapatikane kwenye vituo
Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe (Mb) amewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote nchi kuhakikisha maafisa Ugani wanapatikana katika vituo vyao vya Kazi kama ilivyo kwa walimu. Bashe ameyasema hayo leo hii akiwa mkoani Tanga ambapo ameanza ziara yake ya kikazi…
Kinana azuru kaburi la Hayati Rais Magufuli
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Komredi Abdulrahman Kinana, akiwa ameambatana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko wamezuru na kufanya sala katika kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John…





