JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Zaidi ya bilioni 80/- zasambaza umeme vijiji mkoani Singida

📌 Kapinga apeleka shangwe za umeme Maswauya na Mdilu Singida Kaskazini 📌 Asema hayo ni matokeo ya uchapakazi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan 📌 Mbunge apongeza Serikali kwa miradi ya maendeleo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Naibu waziri wa Nishati,…

Benki ya Akiba yaadhimisha Siku ya Mazingira kwa kuzindua viunga vilivyoboreshwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabir Shakimweri ameipongeza Benki ya Akiba kwa juhudi na jitihada zake katika kuboresha na kuhifadhi mazingira na kusistiza taasisi nyingine kuiga mfano huo . Pongezi hizo amezitoa leo Dodoma…

Gavana Bwanku akagua ujenzi bweni la wasichana sekondari Bujugo, achangia mifuko saba ya saruji

Afisa Tarafa (Gavana) wa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku leo Jumatano Juni 05, 2024 akiambatana na Diwani wa Kata ya Bujugo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba Vijijini Mhe. Privatus Mwoleka,…

Siku ya Mazingira Duniani, TAWIRI yabainisha mchango wa wadudu kwenye mazingira

Na Mwandiahi Wetu, JamhuriMedia, Dodooma Ikiwa leo tarehe 05.06.2024 ni maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambapo Kitaifa yamefanyika Jijini Dodoma, Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) imebainisha mchango mkubwa wa wadudu mbalimbali akiwemo nyuki katika Mazingira. Akitoa elimu…

Ifanyeni sekta ya uvuvi Afrika kuchangia pato la taifa – Dk Biteko

📌 Afungua rasmi mkutano wa wadau wa sekta ya uvuvi Afrika 📌 Ataka changamoto za uvuvi Afrika kutatuliwa 📌 Asema sekta ya uvuvi inachangia sh.trilioni 3.4 nchini 📌 Serikali kuendelea kuunga mkono sekta ya uvuvi nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…

Mazingira Hifadhi ya Kitulo yachelewesha pundamilia, swala kuongezeka

SERIKALI imesema wanyamapori waliohamishiwa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, wamechelewa kuzaliana kutokana na kubadili mazingira ya awali, lakini baada ya miili kukubaliana na mazingara hayo sasa wameanza kuzaliana. Akijibu swali bungeni leo Juni 5, 2024 kwa niaba ya Waziri wa…