Category: Habari Mpya
NEMC yakemea matumizi vifungashio vya plastiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limekemea vikali matumizi ya vifungashio vya plastiki visivyokidhi viwango ambavyo vimegeuzwa kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni. Hayo yamesemwa leo na Ofisa Mazingira Mwandamizi wa…
Wanafunzi Chuo cha Ustawi wa Jamii kushiriki Shindano la kimataifa ‘Hult Prize’ nchini Kenya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii ni Miongoni mwa wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali Duniani wanaokutana Jijini Nairobi Nchini Kenya kuwania Tuzo ya ‘Hult’. Wanafunzi hao ni Hellena Sailas, Maria Daudi, na…
Kikosi kazi kuundwa kudhibiti utorishaji madini Songwe
Na Mwanahamisi Msangi, Songwe TUME ya Madini Mkoa wa Songwe imeunda kikosi kazi maalum cha kupambana na kudhibiti utoroshaji wa madini na kusababisha serikali kukosa mapato. Hayo yamesemwa na Afisa Madini Mkazi – Songwe, Chone Malembo wakati akizungumza na waandishi…
TLS yawashauri waandishi wa habari kuandika habari bila woga
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dodoma Waandishi wa habari nchini wametakiwa kuandika habari zenye mlengo wa hasa au chanya Kwa manufaa ya jamii Ushauri huo umetolewa na Makamu wa Rais wa Tanganyika Law Society ( TLS), Deus Nyabili alipokuwa akifungua mkutano…
Zaidi ya bilioni 80/- zasambaza umeme vijiji mkoani Singida
📌 Kapinga apeleka shangwe za umeme Maswauya na Mdilu Singida Kaskazini 📌 Asema hayo ni matokeo ya uchapakazi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan 📌 Mbunge apongeza Serikali kwa miradi ya maendeleo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Naibu waziri wa Nishati,…
Benki ya Akiba yaadhimisha Siku ya Mazingira kwa kuzindua viunga vilivyoboreshwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabir Shakimweri ameipongeza Benki ya Akiba kwa juhudi na jitihada zake katika kuboresha na kuhifadhi mazingira na kusistiza taasisi nyingine kuiga mfano huo . Pongezi hizo amezitoa leo Dodoma…





