JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Urambo , Kaliua wafanya kikao cha ujirani mwema kupitia upya mipaka ya kiutawala – DED Grace

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Kaliua Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora Grace Quintine amesema wamefanya Kikao cha Ujirani mwema na Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua ili kupitia upya mipaka ya Kiutawala kati ya Wilaya ya Urambo…

Tuna mkakati maalum na Comoro -Dk Janabi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za tiba kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kutoka visiwa vya Comoro kutokana na…

Macron aitisha mkutano mwingine kuhusu New Caledonia

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha mkutano mwingine wa dharura wa baraza lake la ulinzi na usalama kwa ajili ya kujadili ghasia zinazoendelea katika kisiwa cha New Caledonia ambacho ni himaya yake. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha mkutano mwingine…

Saruji nyeupe kuitangaza Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Serikali imezitaka halmashauri nchini kuendelea kuboresha miundombinu sanjari na kutenga maeneo rafiki kwa uwekezaji na wawekezaji ili kuifikia azma ya serikali kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe…

Mukhbar kuiongoza Iran kwa siku 50

Na Isri mohamed SAA chache baada ya kutangazwa kwa kifo cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, aliyekuwa makamu wa Rais wake Muhammad Mukhbar anajiandaa kuiongoza nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha siku 50. Kwa sasa Mukhbar anasubiri tu kuthibitishwa…

TMA yatoa taarifa ya mwenendo kimbunga Ialy Bahari ya Hindi Kaskazini mwa Madagascar

Kufuatia taarifa iliyotolewa tarehe 17 Mei 2024 na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusu kuwepo kwa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar, Mamlaka inapenda kutoa mrejeo kuhusiana na mwendendo wa kimbunga hicho. Mifumo…