Category: Habari Mpya
Kibajaji amjia juu Mbowe
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Mvumi mkoani Dodoma, Livingstone Lusende amemjia juu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Freeman Mbowe kwa kitendo cha kudai Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa…
TANAPA yazitendea haki fedha za Samia
Arusha Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media Arusha Fedha zilizotolewa na serikali kupambana na athari zilizoletwa na ugonjwa wa virusi vya korona (Uviko – 19) nchini kwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), zimesababisha ongezeko la idadi ya watalii. Mwaka jana,…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa mgeni rasmi kongamano la viongozi wa dini
Na Mussa Augustine. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano kubwa la aKitaifa la kuwajengea uelewa viongozi wa dini mbalimbali kuhusu athari zitokananzo na sauti zilizozidi Viwango katika Nyumba…
Tanzania, Uingereza kuimarisha usawa wa kijinsia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekubaliana na Kamisheni ya Uingereza kushirikiana ili kuimarisha usawa wa kijinsia nchini. Hayo yamebainika wakati wa kikao cha Wizara na Kamisheni hiyo kilichofanyika…
Baraza jipya la Madaktari Tanganyika lazinduliwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezindua Baraza jipya la Madaktari Tanganyika linalotarajia kudumu kwa muda wa miaka mitatu, huku moja ya jukumu la Baraza hilo ni kumshauri Waziri wa Afya katika masuala ya udhibiti, utoaji…
Biteko ataka sekta ya madini kuchangia zaidi fedha za kigeni
Zikiwa zimetimia Siku 100 tangu ateuliwe na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 27, 2023 kuiongoza Wizara ya Madini, Juni 7, 2023, Katibu Mkuu Kheri Mahimbali akizungumza na Watumishi wa Wizara, aliwaeleza…





