Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Balozi wa China nchini Balozi Chen Mingjian (kushoto) Ofisini kwa Katibu Mkuu, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akiagana na Balozi wa China nchini Balozi Chen Mingjian (kushoto)mara baada ya kumaliza mazungumzo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam

.

By Jamhuri