JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ummy awajulia hali majeruhi ajali ya gesi

Na Mwandishi Wetu,Tanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea majeruhi wa ajali ya gari iliyobeba gesi na kudondoka eneo la Kwamkono wilayani Handeni mkoani Tanga ambao wamelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo. Baada ya majadiliano na…

Dkt.Mahera:Kuweni na Kauli nzuri kwa wagonjwa, ni kazi ya Mungu

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt. Charles Mahera amewataka wahudumu wa afya kuwa na kauli nzuri kwa wagonjwa pia amewaagiza watendaji wote katika Sekretarieti za…

Mfumo wa kupima utendaji kazi kubaini watumishi wanaokwepa majukumu

Na Mwandishi wetu,JAMHURI MEDIA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesemamfumo mpya wa kupima utendaji kazi wa watumishi wa umma utatumika kubaini mikoa na halmashauri ambazozinaongoza kukwepa jukumu la kutoa…

Fisi ashambulia na kujeruhi watu 10 Geita

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Watu 10 wajeruhiwa na Fisi katika kijiji cha Nyamalimbe kata ya Nyamalimbe wilayani Geita mkoani Geita. Fisi huyo aliwajeruhi raia 10 muda mfupi baada ya kumuua ng’ombe mmoja kati ya ng’ombe waliokuwa wakichungwa na watoto ambao…

Rais Samia ampokea na kuzungumza na Kamala Harris

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Davi Harris mbele ya waaandishi wa habari leo Machi 30, 2023 Ikulu ya Dar…

Mvua yaikosesha mikoa 6 safari za treni

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesitisha safari zake katika mikoa sita hapa nchini kutokana na mvua zinazoendelea kuonyesha katika maeneo mbalimbali. Mikoa itakayoathiriwa na uamuzi huo wa TRC ni Dar es Salaam kuelekea mikoa ya…