JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mume aua mke na kumzika chumbani

Na Benny Kingson,JamhuriMedia,Tabora Salma Hamis Maulid (34), mkazi wa Mtaa wa Mbirani, kata ya Kidongo-Chekundu katika Halmashauri ya Manispaa Tabora ameuawa na mume wake na kisha kuzikwa chumbani. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani hapa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)…

Naibu Waziri wa Maji awataka wananchi kutunza vyanzo vya maji Songea

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Naibu Waziri wa maji mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakazi wa manispaa ya Songea na vitongoji vyake kuona umuhimu wa kutunza mazingira kwenye vyanzo vya maji ili miradi ya maji inayotekelezwa na serikali iweze kuwa endelevu pamoja na…

Jaji Mkuu ataja faida za majaji na mahakimu wanawake

Magreth Kinabo na Mary Gwera Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amefungua Kongamano maalum la kusherehekea Siku ya Majaji na Mahakimu Wanawake Duniani lililoandaliwa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) ambapo amebainisha kuwa, uwepo wa Majaji…

Taasisi ya wanawake na diplomasia yampongeza Rais Samia

Taasisi ya Wanawake na Diplomasia, imetoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kutumia diplomasia kuifungua nchini katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya uchumi na diplomasia. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye…

TUCTA:Maeneo ya kazi yanapokuwa salama kunaongeza uzalishaji

Na Mwandishi Wetu,JAMHURIMEDIA Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limetoa wito kwa maeneo ya kazi nchini kuzingatia taratibu zote za usalama na afya mahali pa kazi ili kulinda nguvukazi na mitaji iliyowekezwa jambo ambalo litapelekea tija kupatikana katika uzalishaji….

Pinda ataka uwajibikaji wa pamoja na kuongeza maduhuli ya serikali

Na Anthony Ishengoma,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda, amesema vipaumbele vya Wizara kwa sasa ni kuongeza kasi ya ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia pango la Ardhi lakini kuboresha mawasiliano kati ya watendaji ardhi walioko…