JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Simba wafunga mwaka kwa kishindo,yaipiga wiki Prison

WENYEJI, Simba SC wamefunga mwaka vizuri baada ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mshambuliaji na Nahodha, John Bocco amefunga mabao…

TCRA yabaini kampuni kutoa huduma za televisheni za satelaiti bila leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Na.12 ya 2003, na kupewa jukumu la kusimamia Sekta ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta nchini Tanzania.  TCRA imebaini kuwepo kwa makampuni…

Majaliwa: Anzisheni majukwaa ya kiuchumi

Waziri Mku Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi ambazo Tanzania inaweza kupata kutokana na ushirikiano wa kidiplomasia kwenye nchi walizopo. Amesema ni vema balozi hizo zikaanzisha majukwaa ya kiuchumi yatakayowakutanisha wafanyabiashara…

Watuhumiwa 1942 wa wizi wa mifugo wakamatwa nchini

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kuzuia na kupambana na wizi wa mifugo nchini limewakamata watuhumiwa 1942 wa wizi wa mifugo kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2022.Akitoa taarifa hiyo leo Desemba 30,2022 Kamanda…

Mabula apiga marufuku shughuli za kibinadamu maeneo ya hifadhi Lindi

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Lindi Waziri wa ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula amepiga marufuku ufanyaji shughuli za kibinadamu katika maeneo ya hifadhi ya msitu wa Nyengedi na Pori la Akiba la Selous mkoani Lindi. Dkt.Mabula alipiga marufuku hiyo Desemba 29,…

Serikali:Hakutakuwa na uhamisho kutoka shule za kutwa kwenda za bweni

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Prof. Riziki Shemdoe amesema hakutakua na uhamisho wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwenye shule za kutwa kuhamia bweni. Shemdoe ametoa agizo hilo…