Category: Habari Mpya
Tanzania yaongoza kwa idadi kubwa ya nyati Afrika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana ametangaza matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyofanyika mwaka huu ambapo Tanzania inatajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya nyati Barani Barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati 191,805….
Serikali yatenga bil.230/- kuboresha miundombinu ya elimu
Angela Msimbira OR-TAMISEMI Serikali inakamilisha tathmini ya upembuzi yakinifu wa shule zote za msingi kupitia mradi wa kuboresha elimu ya awali na msingi Tanzania Bara (BOOST) ili kuandaa mpango endelevu wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi nchini ….
Mauaji ya watu 12 Lindi yasababisha hofu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata mara moja wafugaji waliohusika katika mauaji ya watu 12 Mkoani Lindi. Masauni ametoa kauli hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Mifugo…





