Category: Habari Mpya
Akamatwa akisafirisha gunia 10 za mirungi
Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika Jiji la Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishina wa msaidizi wa Polisi ACP ,Justine Masejo, amesema kuwa Septemba…
Serikali yaweka mikakati kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani
. ……………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini kuweka mkakati wa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani katika maeneo yao. Majaliwa amesema lengo la agizo ni kusisitiza utekelezwaji wa maono na dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan…
Mkumbo awaonyesha njia wadau wa habari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mbunge wa Jimbo la Ubungo,Kitila Mkumbo amewashauri wadau wa habari kueleza hoja zenye tija kuhusiana na kupendekeza kwa baadhi ya vifungu vya sheria ya habari kuomba kubadilishwa. Mkumbo ameyasema hayo jijini Dodoma alipozungumza na mwandishi wa habari…
Makamu wa Rais akihutubia mkutano wa elimu Umoja wa Mataifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema katika kuelekea mwaka 2030, mataifa yanapaswa kujitoa upya na kuazimia kuongeza uwekezaji zaidi katika sekta ya elimu kwa nia ya kuhakikisha Watoto wanapata elimu iliyo bora na…





