JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Daktari mbaroni atumia jina la Lukuvi utapeli

Na Kija Elias,JamhuriMedia,Moshi Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni Dk. Wilson Solly kwa tuhuma za kuwatapeli malimilioni ye fedha vijana zaidi ya 76 kutoka mikoa mbalimbali kwa kutumia jina la aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi William Lukuvi….

Mtandao wa wabunge wa kupambana na rushwa Afrika kushirikiana na TAKUKURU

Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) amesema mtandao wao utashirikiana kikamilifu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika mapambano dhidi…

Operesheni Maalumu yawanasa 100 Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema kuwa hatokubali wilaya yake iingie katika dosari kutokana na baadhi ya watendaji wasioowaminifu kushindwa kutoa ushirikiano katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Septemba 16,2022,Jokate…

Wachangishwa 60,000/ kwa kila kaya ili kujenga zahanati, RC aingilia kati

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Charles Makongoro Nyerere ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mashamba yaliyouzwa na kugawanywa kwa wananchi na kuchangishwa sh60,000 kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Makongoro akizungumza na…