Category: Habari Mpya
Waziri:Utaratibu wa kuoa au kuolewa ni miaka sita JWTZ
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema haina mpango wa kubadili utaratibu uliowekwa kwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kukaa miaka sita bila kuoa ama kuolewa mara baada ya kujiunga na jeshi hilo. Waziri wa Ulinzi…
Halmashauri zatakiwa kuainisha maeneo ujenzi wa vituo vya afya
Na Asila Twaha,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala…
Bashungwa asisitiza maelekezo ya Serikali kuhusu wafanyabiashara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amewasisitiza Wakuu wa Mikoa kuendelea kushirikiana na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Majiji na Manispaaa kuendelea na zoezi la kutafuta maeneo rafiki ya kujenga…
Bwawa Nyumba ya Mungu kufungwa Machi 2023
Na Kija Elias,JamhuriMedia,Mwanga Wadau wanaoshughulika na uvuvi katika Bwawa la Nyumba ya Mungu wa wilaya za Simanjiro, Moshi Vijijini na Mwanga, wamependekeza kufungwa kwa Bwawa hilo kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na kukithiri kwa uvuvi haramu. Uamuzi wa kufungwa…
TCRA:Kuna ongezeko kubwa la watumiaji huduma za kifedha mtandaoni
•Asilimia 41 hutumia huduma za kifedha kwa mtandao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Matarajio ya Tanzania kujenga uchumi jumuishi yanaonyesha nuru baada ya takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuonyesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma za kifedha…
Balaa Magomeni Kota
Na Alex Kazenga,JamhuriMedia, Dar Licha ya ahadi ya serikali ya kuwapa kipaumbele wakazi ‘asilia’ wa Magomeni Kota kupata makazi katika majengo ya kisasa, takriban familia 21 zimetoswa; JAMHURI limebaini. Familia hizo ni miongoni mwa 644 zilizolazimika kulihama eneo la Magomeni…





